1 Mwana wa Adamu Ashuka Duniani

Umeme waja kutoka Mashariki, ukiangaza kuelekea Magharibi.

Mwana wa Adamu Ameshuka duniani.

Mungu mwenye mwili, Akionekana, Akifanya kazi Uchina,

Yeye ni Mwenyezi Mungu, Kristo wa siku za mwisho.

Ameonyesha ukweli, Akitikisa kila taifa.

Kazi ya hukumu inaanzia katika nyumba ya Mungu.

Maneno Yake yana mamlaka, yanashinda mioyo ya wote.

Wakiwa wameshawishika kabisa, wanainama katika ibada.

Mwenyezi Mungu ameketi kwenye kiti Chake cha utukufu.

Mwana wa Adamu ameonekana na kufanya kazi,

Akitikisa kila taifa duniani.

Maneno ya Mungu yanaenea ulimwenguni,

kwa sauti ya baragumu ya Enzi ya Ufalme

kusikika kote ulimwenguni.

Mwana wa Adamu azungumza na kutembea kati ya makanisa,

maneno na kazi Yake viko kati yetu.

Kila mmoja wetu anachungwa, kunyunyiziwa na Mungu,

kufurahia kazi ya Roho, ana kwa ana na Mungu.

Maneno ya Mungu ya hukumu kama upanga wenye makali kuwili,

yakifunua na kuchangua ukweli wa upotovu wa mwanadamu.

Hukumu na kuadibu hutakasa

upotovu na uasi wetu,

kutuokoa kikamilifu kutoka kwa nguvu za Shetani.

Tumepata ukweli na uzima, tunatoa sifa kwa Mungu.

Mwana wa Adamu ameonekana na kufanya kazi,

Akitikisa kila taifa duniani.

Maneno ya Mungu yanaenea ulimwenguni,

na sauti ya baragumu ya Enzi ya Ufalme

kusikika kote ulimwenguni.

Mwenyezi Mungu huonyesha ukweli

kuhukumu na kumtakasa mwanadamu.

Amefanya kundi la washindi Uchina.

Akimshinda Shetani, Mungu anapata utukufu.

Maneno Yake yanatimizwa moja baada ya lingine.

Mwana wa Adamu ameonekana na kufanya kazi,

Akitikisa kila taifa duniani.

Maneno ya Mungu yanaenea ulimwenguni,

na sauti ya baragumu ya Enzi ya Ufalme

kusikika kote ulimwenguni.

Baragumu za malaika, nyimbo za malaika,

hizi zote hutumikia kumtukuza Mungu.

Mwenyezi Mungu atatawala duniani hata milele.

Iliyotangulia: 1030 Binadamu Waingiapo Hatima ya Milele

Inayofuata: 2 Mwana wa Adamu Ameonekana

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

418 Umuhumi wa Maombi

Sala ni mojawapo ya njia ambazo mwanadamu hutumia kushirikiana na Mungu, ni njia ambayo mwanadamu hutumia kumwita Mungu, na ni mchakato...

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp