197 Fuata Mfano wa Petro na Utafute Kumpenda Mungu

1

Nilikuwa nikifikiria kuwa kuacha kila kitu na kumfanyia Mungu kazi kulimaanisha kuwa nilimpenda Mungu. Ingawa niliwindwa na CCP, sikurudi nyuma kamwe.

Familia yangu ilinikataa na dunia ikanikashifu, lakini nilikuwa tayari kutoa miaka yangu ya ujana kwa Mungu bila kulalamika au kujuta.

Mradi tu ningeinuliwa kuingia katika ufalme wa mbinguni na kuzawadiwa, ilikuwa inastahili kiwango chochote cha mateso na kiwango chochote cha machozi.

Majaribu yalipofika na kufichua uovu wangu, nikawa hasi na mnyonge, na nikalia machozi machungu.

Nikitafakari njia ambayo nilitembea katika imani yangu katika Mungu, hatimaye niligundua kuwa bila kufuatilia ukweli, ningeanguka mwishowe.

2

Maneno ya Mungu yalifichua kiini potovu cha binadamu, na ni hapo tu ndipo niliona kina cha upotovu wangu.

Nilisema nilimpenda Mungu, lakini ilikuwa tu ili nipate baraka na zawadi, na hata kazi yangu ngumu na juhudi ilifanywa ili kupata kitu kutoka kwa Mungu.

Kweli nilipoteza dhamiri, mantiki, ubinadamu wangu lakini Mungu bado alitumia maneno Yake kunihukumu na kunitakasa.

Naanguka mbele ya Mungu kwa majuto kuhusu yale niliyotenda, sistahili kabisa kupokea upendo wa Mungu.

Nimeamua kutafuta kumpenda Mungu na kumridhisha Mungu, sitafanya mipango ama kufikiria maisha yangu ya usoni ama majiliwa yangu tena.

3

Kupitia majaribu na taabu kunakamilisha imani yangu. Naona kwamba mwanzo wa majaribu kweli ni baraka ya Mungu.

Ingawa mwili unaweza kuteseka, naweza kuonja upendo wa Mungu. Kwa kutenda ukweli, tabia yangu potovu inabadilishwa.

Nitafuata mfano wa Petro, kumpenda Mungu kabisa, kumtii hadi kifo. Nimebarikiwa sana kuwa naweza kumpenda Mungu na kutoa ushahidi Kwake leo.

Nina hakika kuwa Kristo ndiye ukweli, njia, na uzima. Kuelewa ukweli na kumjua Mungu, maisha haya sio ya bure.

Kutii mipango ya Mungu hakuwezi kamwe kuwa makosa. Upendo na utiifu wa milele kwa Mungu ni wajibu wangu.

Iliyotangulia: 196 Hakuna Majuto wala Malalamiko katika Kumpenda Mungu

Inayofuata: 198 Elewa Ukweli na Uwe Huru

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp