108 Imani Katika Mungu ni ya Furaha Kweli

Zamani tulikuwa kizazi potovu na kiovu;

zamani tuliwasumbua wazazi, tukiwaacha walimu na maudhi.

Sasa kwa imani, tupo kwenye njia ya kweli na Mungu.

Tunang’aa kwa kuwa tunatafuta ukweli na tunatenda maneno ya Mungu.

Sisi wadogo ndio kizazi kipya.

Tunapendwa na kubarikiwa na Mungu, tuna furaha sana.

Tunapendwa na kubarikiwa na Mungu, tuna furaha sana.

1

Hatufuati tena mienendo ya kisasa

ama vivutio ambavyo vilabu vya usiku vinatupa,

hatupiganii umaarufu na utajiri tena

ama kushindania anasa za mwili.

Hatusumbuliwi na pesa, kuzoea michezo,

hatufuati mapenzi ya kijinga ama kuishi katika tamaa.

Hatutafuti maarifa ya uongo, si wakaidi tena.

Tumeisikia sauti ya Mungu, tumerudi mbele za Mungu.

Sasa kwa imani, tupo kwenye njia ya kweli na Mungu.

Tunang’aa kwa kuwa tunatafuta ukweli na tunatenda maneno ya Mungu.

Sisi wadogo ndio kizazi kipya.

Tunapendwa na kubarikiwa na Mungu, tuna furaha sana.

Tunapendwa na kubarikiwa na Mungu, tuna furaha sana.

2

Ukweli wa maneno ya Mungu umeyaweka mawazo yetu wazi,

tunajua kinachopendeza, kibaya, kizuri na potovu.

Maneno Yake yanatutakasa, yanatuepusha na maovu.

Kwa kuchukua ukweli Wake, tupo kwenye njia ya kweli.

Kila siku tunasoma maneno ya Mungu, tunashiriki ukweli,

sasa tunaishi maisha ya kanisa.

Hukumu ya Mungu ipo nasi tunapokua,

kama vile kushugulikiwa na kupogolewa na maneno ya Mungu.

Tumetoa machozi, tukaomboleza, tukashindwa na kuanguka,

lakini maneno ya Mungu yanatupa nuru kwa wakati.

Kwa sababu ya mwanga wa neno la Mungu,

tunaelewa ukweli na sasa tuko huru.

Sasa kwa imani, tupo kwenye njia ya kweli na Mungu.

Tunang’aa kwa kuwa tunatafuta ukweli na tunatenda maneno ya Mungu.

Sisi wadogo ndio kizazi kipya.

Tunapendwa na kubarikiwa na Mungu, tuna furaha sana.

Tunapendwa na kubarikiwa na Mungu, tuna furaha sana.

3

Sote tunamsifu Mungu kwa shangwe na vicheko,

tuna furaha kuishi, kuzungumza na Mungu.

Kujaribu kuwa waaminifu, kupendwa na Mungu,

hatuna hila, tu wenye nguvu, bila wasiwasi.

Sote tunatangaza, tunamshuhudia Mungu.

Eh! Ndiyo, mioyo yetu ina furaha na iko huru.

Tumemwona Mungu ana kwa ana, tukahisi upendo Wake.

Ukweli ni wa thamani, huyapa maisha yetu lengo jipya.

Sasa kwa imani, tupo kwenye njia ya kweli na Mungu.

Tunang’aa kwa kuwa tunatafuta ukweli na tunatenda maneno ya Mungu.

Sisi wadogo ndio kizazi kipya.

Tunapendwa na kubarikiwa na Mungu, tuna furaha sana.

Tunapendwa na kubarikiwa na Mungu, tuna furaha sana.

Eh! Ndiyo, shukrani kwa Mwenyezi Mungu,

ambaye Ametupa ukweli, njia, na uzima.

Hakuna apendezaye kuliko Mwenyezi Mungu;

sisi, wadogo, tutamsifu Yeye daima!

Sasa kwa imani, tupo kwenye njia ya kweli na Mungu.

Tunang’aa kwa kuwa tunatafuta ukweli na tunatenda maneno ya Mungu.

Sisi wadogo ndio kizazi kipya.

Tunapendwa na kubarikiwa na Mungu, tuna furaha sana.

Tunapendwa na kubarikiwa na Mungu, tuna furaha sana.

Iliyotangulia: 106 Nina Furaha Kuu Kupata Upendo wa Mungu

Inayofuata: 109 Maisha ya Mwanadamu Mpya

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp